Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: 27 Januari, 2012 10:34 EAT
Mabibo Sahara
Sahara
nyumba nyingi zilizopo katika bonde la sahara ziko hatarini kuanguka na kama mvua itarudi tena kuna hatari kubwa itakayo tokea
Mafuriko yameathiri sana makazi ya wananchi
mabomba yamesombwa na mafuriko
Kabla ya mafuriko: hakunaSasa: (Hakuna jibu)
nyumba hii iliyopo pembezoni mwa bonde ilianguka na wakazi wanahitaji eneo jipya
Draja hili la mabibo sahara halikuadhirika sana na mafuriko haya ila nyumba za pembezoni zimeharibika sana
Nyumba hii nzuri lakini kama unavyojionea msingi wake umeathiriwa na mafuriko nahapo ilipo ni mkondo wa maji yanapo pita hivyo kama mvua itarudi tena basi wakazi wa eneo hili la mabibi sahara watakuwa kwenye wakati mgumu sana
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti