Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: 27 Januari, 2012 10:01 EAT
Tabata kisukuru
Tabata kisukuru (maji chumvi)
Thamani ya vitu vyote vya ndani vimebebwa na mafuriko .
Mahali pa kuishi ni tabu kutokana na mahali pa kuishi kuharibika kabisa.
maji kwa upande mmoja tunayapata ila sio kama kabla ya mafuriko
Kabla ya mafuriko: hapanaSasa: (Hakuna jibu)
Mzee Abdul S. Mwakasanga akiwa mbele ya nyumba yake ambayo ukuta umeanguka kabisa na kuharibu thamani za ndani ombi lake ni atafutiwe makazi mapya
Mama huyo aliyeshika tama akiwa na huzuni mara baada ya nyumba aliyokuwa amepanga kuzolewa na mafuriko na Mhazini wa NVRF Ndg Ezekiel William akiwa amemshika mtoto wa mama huyo ambae ni wa miezi miwili tu mama anahitaji msaada wa karibu zaidi ili aweze kumlea mtoto .
Ngugu Ezekiel William akiwa ameshika daftari na akichukua maelezo ya kina na kwa makini ya mzee huyu Abdul aliyepata janga hili la mafuriko
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti