Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: 27 Januari, 2012 09:36 EAT
tabata kisukuru
tabata kisukuru (maji chumvi)
wakazi wengi wamehama makazi kutokana na nyumba kujaa maji na kuta kuanguka
nyumba zimejaa maji na vitu vyote vya ndani vimeharibika
bado maji yanapatikana kwa shida kutokana na miundo mbinu kuharibika
Kabla ya mafuriko: hakunaSasa: (Hakuna jibu)
ndugu huyo mnae muona hapo alikuwa anaeleza viongozi wa NVRF waliomtembelea jinsi maji yalivyokuwa yamefika usawa wa dirisha juu na familia hii haijarejea kwenye makazi yao
hiyo ni nyumba ya mamaCECILIA DOMINIC ikiwa imebomoka yote na kwa sasa amepewa hifadhi na majirani na hata nguo hana ndio maana amejifunga kanga tu na kilio chake ni kupatiwa makazi mapya
Baadhi ya vitu vya ndani tulivyo vikuta vikiwa vimeharibika kabisa
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti