Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: 27 Januari, 2012 08:51 EAT
Tabata Kisukuru (Maji Chumvi)
Kupewa viwanja na kuhamishwa
Vitu vyote vya ndani vimeenda na maji
Maisha yangu hayana muelekeo sina hata kitu ndani ya nyuma
Vyote vimeenda na maji
Kabla ya mafuriko: Hakuna jibuSasa: (Hakuna jibu)
Mzee huyu anasema maisha yake yameharibika kabisa
Hizi sio taka taka ni nguo za mtu tena za kuvaa zimekuwa hivi kwa sababu ya Mafuriko
Hili ni Godoro la mzee huyu na ndilo lililo salia hana lingine
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti