Envaya

Envaya

Dar es Salaam Flooding Community Survey

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: January 27, 2012 at 8:51 AM EAT
Tabata Kisukuru (Maji Chumvi)
Kupewa viwanja na kuhamishwa
Vitu vyote vya ndani vimeenda na maji
Maisha yangu hayana muelekeo sina hata kitu ndani ya nyuma
Vyote vimeenda na maji
Before flooding: Hakuna jibuNow: (No Response)
Mzee huyu anasema maisha yake yameharibika kabisa
Hizi sio taka taka ni nguo za mtu tena za kuvaa zimekuwa hivi kwa sababu ya Mafuriko
Hili ni Godoro la mzee huyu na ndilo lililo salia hana lingine
« Previous responseNext response »

« Back to report