Envaya

Envaya

Dar es Salaam Flooding Community Survey

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: January 27, 2012 at 8:43 AM EAT
Tabata Kisukuru (Bonde la chumvi)
Miundo mbinu
Yamebeba kila kitu ndani ya nyumba
Sina pa kulala naishi kama mnyama
Vingi viliondoka na maji
Before flooding: Niko nyumbaniNow: (No Response)
Mzee Rashidi Ally Mhina anasema amebebewa kila kitu na maji
Unapoona unyevu wa maji kwenye ukuta ni nyumba ya mzee Rashidi anaomba kuhamishwa yuko tayari kuhama kilio chake ni kwanba wamekumbukwa watu wa Jangwani tu lakini watu wa Tabata hawaja kumbukwa.
« Previous responseNext response »

« Back to report