Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: ENVIRONMENT AND HEALTH TANZANIA
Time Submitted: 25 Januari, 2012 22:24 EAT
Kigogo Kati,Manispaa ya kinondoni
Chakula, mavazi kwa jamii na wanafunzi,mitaji ya biashara zao ndogondogo na mahitaji madogomadogo.
yameharibu thamani nyingi za ndani,sakafu imebomoka, nyumba imepata nyufa nyingi,
miundombinu imeharibika,miundombinu hiyo ni kama mifereji ya maji machafu,njia imeharibiwa na mafuriko na kufanya usumbufu mkubwa kwa kwetu sisi wakazi wa kigogo kati.
ubora wa maji kwetu umekuwa na matatizo kidogo ukilinganisha na hali ya awali kabla ya mafuriko,hii inamaana kuwa miundombinu ya mabomba yamezolewa na mafuriko.
Kabla ya mafuriko: nilikuwa natumia dakika kumi kufika eneo letu la ofisi(kazi)Sasa: natumia zaidi ya dakika 20
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti