Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: UVIKITWE GROUP
Time Submitted: 27 Januari, 2012 13:54 EAT
Jangwani
Makazi ya kudumu, Huduma zote muhimu za kijamii
Nyumba imebomolewa na mafuriko, vifaa vya shule kwa wanafunzi vimechukuliwa, Vifaa vyote vya ndani vimechukuliwa, Nguo zote zimechukuliwa na maji,
Maisha yangu hayana muelekeo na sijui nianzie wapi,
Maji tunayotumia sio salama, mabomba yamechukuliwa na mafuriko na maji yanayotumika ni ya mitaani ambayo ni machafu sana.
Kabla ya mafuriko: 60mntsSasa: 1:30 mnts
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti