Respondent: | Envaya Team |
---|---|
Time Submitted: | 16 Januari, 2012 16:18 EAT |
Mtambani B (Jangwani)
Ningependa watu wote wa mtaa huu tuhamishwe kwenye haya maeneo,na pia serikali itupatie mtaji wa kujenga kwenye viwanja wanavyotupa,pia watupe misaada ya mitaji tuanze biashara upya.
Nyumba iko safi ila vitu vyote vya ndani viliharibiwa kama vile,vitanda,nguo,magodolo na makabati
Yamenirudisha nyuma sana.Kwanza biashara yangu imekufa kwasababu sina tena mtaji,watoto hawaendi shule maana sina pesa tena.
Maji yetu kwakweli ni masafi sana maana tunachota msikitini na pia hakuna milipuko ya magonjwa hapa kwetu
Kabla ya mafuriko: (Hakuna jibu) | Sasa: (Hakuna jibu) |
(Hakuna jibu)
« Rudi nyuma kwenye ripoti