Envaya

Envaya

Dar es Salaam Flooding Community Survey

Respondent: Envaya Team
Time Submitted: January 16, 2012 at 4:18 PM EAT
Mtambani B (Jangwani)
Ningependa watu wote wa mtaa huu tuhamishwe kwenye haya maeneo,na pia serikali itupatie mtaji wa kujenga kwenye viwanja wanavyotupa,pia watupe misaada ya mitaji tuanze biashara upya.
Nyumba iko safi ila vitu vyote vya ndani viliharibiwa kama vile,vitanda,nguo,magodolo na makabati
Yamenirudisha nyuma sana.Kwanza biashara yangu imekufa kwasababu sina tena mtaji,watoto hawaendi shule maana sina pesa tena.
Maji yetu kwakweli ni masafi sana maana tunachota msikitini na pia hakuna milipuko ya magonjwa hapa kwetu
Before flooding: (No Response)Now: (No Response)
(No Response)
« Previous responseNext response »

« Back to report