Envaya

Envaya

Dar es Salaam Flooding Community Survey

Respondent: Envaya Team
Time Submitted: January 16, 2012 at 4:04 PM EAT
Mulnura Mohamed mkazi wa Mtambani B(Jangwani)
Tuboreshewe mazingira ili tuweze kuishi vizuri,kama vile tusafishiwe mitalo ili maji yaliyotwama yaondoke ili kuepusha magonjwa ya milipuko.Kuna msemo unasema kwako ni kwako tu.
Nimepoteza vyombo vingi sana kama vile,nguo,tv,fridge na mashine ya kushonea
Nilikuwa nafanya biashara ya kushona nguo ila sahivi nimestisha kwasababu sina wateja na pia akili yangu bado haijatulia kutokana na haya mafuriko.Kwahiyo napata shida sana kupata pesa ya kujikimu katika kuendesha maisha yangu.
Maji kwa kweli ni masafi tunamshukuru Mungu,huwa tunachota msikitini kwa bila malipo
Before flooding: (No Response)Now: (No Response)
(No Response)
« Previous responseNext response »

« Back to report