Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Africa Upendo Group
Time Submitted: 14 Januari, 2012 17:38 EAT
Makuburi Mwongozo
Barabara,maji miundombinu fedha,chakula vifaa vya ndani
mafuriko yalizoa chumba changu kizima na vitu vyote mazulia pia yalibebwa
shida zimenijaa wala sijui la kufanya
maji hayafai
Kabla ya mafuriko: (Hakuna jibu)Sasa: (Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti