Envaya

Envaya

Dar es Salaam Flooding Community Survey

Respondent: Africa Upendo Group
Time Submitted: January 14, 2012 at 5:18 PM EAT
Mwongozo Makuburi(makazi ya watu kumi ambao nyumba zao zote zimebomoka kabisa na kubakia magofu
Makazi,Madaraja,fedha,Nguo,malazi na chakula
nyumba zetu zilikuwa hapa lakini zimebomolewa na mvua na hapa tulikuwa wakazi Kumi katika eneo hili ambalo mafuriko yamezoa kila kitu.Yuko mama mjane mahali hapa kabla ya mvua alikuwa akisaidiwa na sisi lakini wote tumegeuka ombaomba sasa.
hakuna tunaloweza kulifanya tunahifadhiwa na wenzetu hapa na hatujui hatima ya maisha yetu na watoto wetu
maji hayafai kabisa
Before flooding: (No Response)Now: (No Response)
« Previous responseNext response »

« Back to report