Respondent: | Africa Upendo Group |
---|---|
Time Submitted: | January 14, 2012 at 4:47 PM EAT |
Mtaa wa mwongozo Lukas Sekelo
barabara,maji,miundo mbinu,fedha na makazi
nyumba yangu nusu imezolewa na maji
maisha ni ya shida sana kwani tunaishi juu ya mto hakun tena nafasi sehemu kubwa imechukuliwa na maji
maji hayafai kabisa
Before flooding: (No Response) | Now: (No Response) |
« Back to report