Respondent: | Africa Upendo Group |
---|---|
Time Submitted: | 14 Januari, 2012 14:29 EAT |
Mtaa wa Mwongozo Makuburi Wilaya ya Kinondoni
Daraja,Makazi,Maji,fedha
Choo changu kimezolewa na maji na vifaa vya ndani
siwezi kwenda kujisaidia hadharani hakuna usiri.Pia vitu vya ndani sina vya kutumia naishi kwa kuombaomba
hakuna maji salama ni shida tupu
Kabla ya mafuriko: (Hakuna jibu) | Sasa: (Hakuna jibu) |
« Rudi nyuma kwenye ripoti