Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Africa Upendo Group
Time Submitted: 13 Januari, 2012 20:59 EAT
Mtaa wa Mwongozo Makuburi karibu na TIOT nyumbani kwa Lucas Sekelo mwenye Library ni Robert Okanda
barabara,makazi,maji na miundo mbinu
mafuriko yameharibu shule yangu na Library yangu ambayo ilikuwa na vitabu vingi na computers nne
mafuriko yameniharibia maisha yangu ya kila siku kabisa.
maji hayafai kwa matumizi ya binadamu
Kabla ya mafuriko: (Hakuna jibu)Sasa: (Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti