Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: UVIKITWE GROUP
Time Submitted: 3 Februari, 2012 16:24 EAT
KIZINGA- MBAGALA
Ujenzi wa makazi mapya ya kudumu, kurudishwa kwa mabomba ya maji.
Vitu vyote vya lazima kwa maisha ya mwanadamu, vimechukuliwa na maji
Mfumo mzima wa maisha umepotea, sielewi nianzie wapi kuanza upya maisha nahitaji msaada wa kibinadamu ili niweze kuishi, hali ni mbaya sana tena sana.
Mabomba hayatoi maji, maji tunayotumia ni machafu sana, kutoka kwenye visima na mabwawa yaliyosimama katika maeneo haya.
Kabla ya mafuriko: Dakika 3Sasa: Siendi kabisa
Picha hii inaonyesha maji yanayotumiwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na watoto wakiogelea hapo hapo.
Picha hii inaonyesha mazingira halisi ya makazi ya watu wa kata ya Bugidadi eneo la mto Kizinga- Mbagala.
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti