Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: UVIKITWE GROUP
Time Submitted: 3 Februari, 2012 16:06 EAT
KIZINGA - MBAGALA
Miundo mbinu na huduma za jamii kwa ujumla.
Vyombo vyote vya ndani vimesombwa na maji, mfano magodoro, nguo, vyakula, sare za watoto wa shule.
Rasilimali zote za kazi(Mbao za kuuza) zimesombwa na maji
Mabomba yote ya maji yamesombwa na mafuriko na kwa sasa tunatumia maji ya visima ambayo si salama kwa matumizi ya binadamu
Kabla ya mafuriko: Dakika 30Sasa: Dakika 60
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti