Envaya

Envaya

Dar es Salaam Flooding Community Survey

Respondent: UVIKITWE GROUP
Time Submitted: February 3, 2012 at 4:06 PM EAT
KIZINGA - MBAGALA
Miundo mbinu na huduma za jamii kwa ujumla.
Vyombo vyote vya ndani vimesombwa na maji, mfano magodoro, nguo, vyakula, sare za watoto wa shule.
Rasilimali zote za kazi(Mbao za kuuza) zimesombwa na maji
Mabomba yote ya maji yamesombwa na mafuriko na kwa sasa tunatumia maji ya visima ambayo si salama kwa matumizi ya binadamu
Before flooding: Dakika 30Now: Dakika 60
« Previous responseNext response »

« Back to report