Respondent: | ENVIRONMENT AND HEALTH TANZANIA |
---|---|
Time Submitted: | February 2, 2012 at 8:41 PM EAT |
Mburahati Kisiwani
1.msaasda wa vyakula
2.magodoro
3.mavazi kwa jamii,wengi wetu tumepoteza samani zetu za ndani kwa asilimia 100
4.mavazi kwa watoto wetu hususani uniform za watoto wa shule
5.wakazi wengi wetu tumepoteza mitaji yetu kwa ajili ya mafuriko
2.magodoro
3.mavazi kwa jamii,wengi wetu tumepoteza samani zetu za ndani kwa asilimia 100
4.mavazi kwa watoto wetu hususani uniform za watoto wa shule
5.wakazi wengi wetu tumepoteza mitaji yetu kwa ajili ya mafuriko
sina hata kitu kimoja katika nyumba yangu,samani zote na vitu vyote vimepelekwa na maji,
kwa sasa sina hakika wa maisha,nina maanisha sina msingi wa kuendesha maisha yangu ya kila siku,mimi nilikuwa na duka la rejareja,kwa bahati mbaya vitu vyote vilipelekwa na maji.
vimeharibiwa kwa asilimia kuwa,na kwa utafiti mdogo niliofanya hapa mtaani,wakazi wengi tunaumwa taifodi,nafikiri hii ni kutokana na maji kutokuwa salama.
Before flooding: ddakika 7 | Now: dakika 15 |
(No Response)
« Back to report