Respondent: | Counselling and Family Life Organization (CAFLO) |
---|---|
Time Submitted: | February 2, 2012 at 12:41 PM EAT |
Kombo, karibu na ofisi ya CCM, Vingunguti.
Kwanza kabisa mtaa huu kwa sasa ni mchafu sana, hivyo usafi wa mazingira unahitajika sana, pili watu wa hapa wanahitaji sana kupata elimu ya afya na utunzaji wa mazingira, maana wakazi wengi wa hapa wanadhani kuwa suala la kusafisha mazingia ni jukumu la serikali.
Nyumba niliyokuwa nimepanga iliharibika sana baadhi ya vyumba vilibomoka, vyombo vya ndani vilisombwa na mafuriko, hata baadhi ya mifugo kama vile kuku, bata ilipotea.
Asilimia tisini ya vyombo au mali zangu zote ziliharibika na nyingine kusombwa na maji, kwa mfano kitanda kimeharibika, godoro na makochi, sahani, sufuria, ndoo za maji vyote vilisombwa na maji.
Kwa sasa vyanzo vya maji si vya uhakika, kutokana na kwamba visima vingi viliharibiwa na mafuriko.
Before flooding: dakika 20 | Now: dakika 30 |
(No Response)
« Back to report