Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: ENVIRONMENT AND HEALTH TANZANIA
Time Submitted: 2 Februari, 2012 14:59 EAT
kigogo mkwajuni
kitu kinachohitajika na mtaa wetu kwa sasa ni
1. kusaidia wajasiliamali wadogowadogo mitaji kwa ajili ya kuweza kuendesha biashara zao zilizoharibiwa vibaya na mafuriko
2.tupatiwe misaada uniform kwa ajili ya wanafunzi wetu
3.tunahitaji maji kwa matumizi ya kila siku
4.njia au barabara ziboreshwe.
mafuriko yamwahiribu nyumba imekuwa na nyufa nyingi.vifaa vya ndani vimeharibika,sina hata kilichosalimika.
imenirudisha nyuma sana kimaisha,kwa kuwa sina mtaji wa kuendesha biashara zangu,nilikuwa na duka la vyakula vya jumla,nafaka zote ziliharibika kwa mafuriko na nyingi zilipelekwa na maji.
vimehariwa kwa sana na mafuriko haya ya mwaka jana
Kabla ya mafuriko: dakika 10Sasa: dakika 30
Haya ni mabaki ya nyumba aliyokuwa akiishi bwana yahya suleimani,mkazi wa kigogo katika manispaa ya kinondoni. nyumba hii ilibomoka na mafuriko yaliyotokea mwishoni mwa mwaka jana jijini dar es salaam.
hili ni eneo tu la nyumba ambayo imeathirika na mafuriko kigogo kati,manispaa ya kinondoni.
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti