Respondent: | ENVIRONMENT AND HEALTH TANZANIA |
---|---|
Time Submitted: | February 2, 2012 at 2:59 PM EAT |
kigogo mkwajuni
kitu kinachohitajika na mtaa wetu kwa sasa ni
1. kusaidia wajasiliamali wadogowadogo mitaji kwa ajili ya kuweza kuendesha biashara zao zilizoharibiwa vibaya na mafuriko
2.tupatiwe misaada uniform kwa ajili ya wanafunzi wetu
3.tunahitaji maji kwa matumizi ya kila siku
4.njia au barabara ziboreshwe.
1. kusaidia wajasiliamali wadogowadogo mitaji kwa ajili ya kuweza kuendesha biashara zao zilizoharibiwa vibaya na mafuriko
2.tupatiwe misaada uniform kwa ajili ya wanafunzi wetu
3.tunahitaji maji kwa matumizi ya kila siku
4.njia au barabara ziboreshwe.
mafuriko yamwahiribu nyumba imekuwa na nyufa nyingi.vifaa vya ndani vimeharibika,sina hata kilichosalimika.
imenirudisha nyuma sana kimaisha,kwa kuwa sina mtaji wa kuendesha biashara zangu,nilikuwa na duka la vyakula vya jumla,nafaka zote ziliharibika kwa mafuriko na nyingi zilipelekwa na maji.
vimehariwa kwa sana na mafuriko haya ya mwaka jana
Before flooding: dakika 10 | Now: dakika 30 |
« Back to report