Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | February 1, 2012 at 6:29 PM EAT |
Mission Kizinga{Mbagala}
kuhamishwa moja kwa moja tupelekwe sehemu nyingine yenye usalama isiyojaa maji,kabla ya kuhamishwa tupatiwe madawa ya kupuliza na vyandarua tujikinge na maralia pamoja na mongwa ya mlipuko.
choo changu kimeanguka, nyumba imepata nyufa ,vitu vyote vya ndani vimeharibika , magodoro, vitanda , kabati la vyombo, redio nguo cherehani 3 na mahine ya kudarizi, nguo za wateja na vifaa vyote vya ushonaji viliharibika ,na vifaa vya shule vya watoto wangu.
kukosa ajira na kubaki na madeni ya nguo za wateja , mafundi wangu kukimbia, watoto wa sekondari kushindwa kuendelea na masomo mpaka nitakapopata pesa za kuwanunulia vifaa vya shule, msongo wa mawazo na kupata ugonjwa wa presha ambao sikuwa nao mwanzo ,magonjwa ya mlipuko kwa watoto wangu wadogo ikiwemo maralia.
Maji hakuna kabisa bomba letu lilisombwa na mafuriko, maji ya kisima si salama baada ya muingiliano wa maji taka
Before flooding: ofisi ilikuwa nyumbani | Now: sina ofisi |
(No Response)
« Back to report