Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | 1 Gashyantare, 2012 at 18:09 EAT |
Mission Kizinga {Mbagala}
Kujengewa mifereji na mitaro thabiti inayoruhusu maji kutiririka kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa urahisi , kiwanda cha KTM kifungue mifereji yake ili maji yafuate njia yake , kudhibiwe magonjwa ya mlipuko.kwa kusaidiwa madawa.
Mali zote za familia yangu zimepotea nakuharibika, Vitanda ,sofa set mbili, redio ,tv ,jokofu, jiko la umeme, mifugo, {kuku wa kisasa elfu mbili} 2,000 vifaa vyote vya mradi wa kuku taa za chemri,chakula na ,madawa, ungo wa tv uliibiwa , vifaa vya shule ,kopyuta ,taptop na ,simu vilipotea . .
kupoteza mtaji, mali za gharama kupotea ,kumbukumbu muhimu kupotea, kuharibu bajeti ya familia ya kila siku,kughalimika upya kwa mahitaji ya shule za watoto wangu,ujumla maisha yamerudi nyuma
kubomoka kwa vyoo kumesababisha uharibufu wa maji safi.Hivyo tunahitaji tupatiwe huduma upya ya maji .
Before flooding: nusu saa hadi saa 1 | Now: nusu saa hadi saa 1 |
(No Response)
« Back to report