Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Tanzania Women of Action(Tawa)
Time Submitted: 1 Februari, 2012 17:43 EAT
Mission Kizinga {Mbagala}
Kuboreshewa mfereji kutoka bara bara ya kilwa hadi mto kizinga, tujengwe mitaro itakayo ruhusu maji kupita bila kutuama katikati ya nyumba zetu, tupatiwe dawa za kuua wadudu katika eneo hili na vyandarua ili kudhibiti maralia .
Ukuta wa nyumba yangu ulibomoka na kuta nyingine kubaki na vyufa , vitu vyote vya ndani kasoro redio iliyokuwa kwa fundi vyote vimeharibika ,magodoro makabati jokofu, kopyuta , vitanda ,viti vifaa vya shule pamoja na sare za watoto vimepotea msingi na sekondari.
kukaa mazingira hatarishi nyumba isiyo imara, watoto kurudi nyuma kimasomo, kuanza tena upya maisha kwani inabidi kununuliwe vitu muhimu vya ndani,kulala chini kwenye mikeka ambayo inatusababishia tuumie mbavu
Mpaka sasa maji kwa ujumla hakuna tokea siku yalipotokea mafuriko
Kabla ya mafuriko: dakika 2Sasa: dakika 2
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti