Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Tanzania Women of Action(Tawa)
Time Submitted: 1 Februari, 2012 17:23 EAT
mission Msikitini {Mbagala}
Tupate mchanga,kokoto, mawe na kifusi cha kutosha ili tupate muinuko kwenye eneo hili, kuzibuliwe njia za maji chini ya daraja ambalo limeziba njia ya maji na kisababisha maji kukosa njia yake na kukimbilia maeneo ya makazi yetu
Vyombo vya ndani vimeharibiwa na maji, friji, tv, deki, simu , redio ,vitanda ,magodoro, kabati,nguo za familia nzima ,sare na vifaa vya shule ,milango na mabati yaliibiwa tulipokimbia nyumba na kutafuta hifadhi
yameniathiri kisaikolojia kufikiria wapi nitaanzia kurudisha maisha yangu ya mwanzo, kuharibu mipangilio ya maisha kwa sababu pesa niliyotenga kwa ajili ya masomo ya watoto wangu imetumika kufanyia mambo mengine muhimu kwa wakati huu.
vyanzo vya maji inabidi kuanza upya ,kwa kutandika mabomba ,na kujenga visima na kurekebisha mitaro ili visije kuharibiwa tena
Kabla ya mafuriko: masaa 2hadi 3Sasa: masaa 2 hadi 3
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti