Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | February 1, 2012 at 5:04 PM EAT |
Mission msikitini {Mbagala}
Tunahitaji kifusi kitakachoinua eneo hili , kokoto na mawe ya kutenganisha mto na maeneo ya nyumba zetu, kujengwe mitaro thabiti itakayoelekeza maji kutoka maeneo ya juu mpaka mto kizinga.
nyumba yangu imepata nyufa, mali zote za ndani zimeharibika ,vifaa vya watoto wangu wa shule vimeharibka , kumbukumbu muhimu zote zimeharibika, naomba nipatiwe eneo lingine kwa usalama wangu na familia yangu
kuharibu mali zote , nyumba kupata nyufa hivyo kuhitaji ukarabati mkubwa, kuathriri elimu ya watoto wangu kwani hawana kumbukumbu zozote za masomo hasa wa sekondari, lawama kuongezeka ndani ya familia ambapo unasababisha upendo kupungua.
Kwa kweli vyanzo vya maji vimeharibika na mafuriko hivyo msaada wa maji ni muhimu sana kwetu
Before flooding: sikuwa na kazi | Now: hadi sasa |
(No Response)
« Back to report