Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | 1 Februari, 2012 16:49 EAT |
Mission msikitini {Mbagala}
Tukarabatiwe nyumba zetu zilizoharibika wakati na mafuriko, tuboreshewe mitaro nyumba hadi nyumba, zijengwe njia za maji kutoka barabara ya kilwa na kuelekezwa mto kizinga badala ya kuelekezwa kwenye majumba yetu
vyombo vyote vya ndani viliharibika ,viti,vitanda, magodoro, kabati, jokofu, redio, tv vifaa vya watoto wa shule na pesa zilizokuwa kwenye kibubu takribaini laki moja na nusu{150,000}zilipotea
kuleta hasara kwa kupotelewa na vitu vyote pamoja na pesa , watoto mpaka sasa hawajaenda shule, magonjwa ya mlipuko ,maralia inayotokana na maji ambayo mpaka sasa hayajakauka eneo hili. fangasi miguuni ukurutu na kukosa maji na choo kwani naomba kujisaidia kwa jirani yangu
toka mafuriko yatokee eneo hili hatuna tena maji safi kwani mabomba mengi yalisombwa na maji na mengine kupasuka ,visima kuchanganyika na maji ya vyoo,hivyo maji ni shida sana
Kabla ya mafuriko: sikuwa na muda maalum | Sasa: sina kazi |
(Hakuna jibu)
« Rudi nyuma kwenye ripoti