Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | 1 Februari, 2012 15:39 EAT |
Mission kizinga {Mbagala}
kumwagwe kifusi kiinue eneo hili ambalo lilididimia kutokana na ujenzi wa barabara ya kilwa ;kuzibuliwe njia ya maji darajani iliyozibwa na ujenzi wa barabara kuu ili njia zote mbili zipitishe maji, mitaro ya nyumba hadi nyumba ijenjwe ili maji yasituame
Mali zote za ndani ya nyumba yangu ziliharibika, biashara yangu ya mbao iliathrbiwa na maji [mbao kuvimba} vifaa vya ujenzi ,sementi imaharibika ,na vifaa vya duka langu vilibiwa na vibaka wakati wa mafuriko,
Kupoteza mtaji wa duka la kawaida na mbao{ajira}, kunirudisha nyuma kimaendeleo, kuingia gharama upya kwa ajili ya mali za ndani na vifaa vya shule kwa watoto.,kupoteza vyeti vya ndoa na nyaraka nyingine muhimu.kukosa uhakika wa chakula wa kila siku.
maji kwa eneo hili hakuna kabisa kutokana na mafuriko, visima kuharibika na mabomba yalipasuka
Kabla ya mafuriko: dakika 3 | Sasa: sina kazi |
(Hakuna jibu)
« Rudi nyuma kwenye ripoti