Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Tanzania Women of Action(Tawa)
Time Submitted: 1 Februari, 2012 15:20 EAT
Mission kizinga
kimwagwe kifusi ili kilete muinuko kutokana na eneo hili kuathiriwa na ujenzi wa barabara kuu ya kilwa, mitaro midogo ijengwe nyumba hadi nyumba ili kurusu maji kutiririka na kuelekea mto kizinga
ni mifugo tu iliyopotea kutokana na mafuriko vitu vingine viko salama ,,mbuzi kondoo , kanga kuku, na bata
nyumba yangu ilizingilwa na maji hivyo kuta kulika na kumong,onyoka, magonjwa kama maralia , homa za matumbo zimesumbua familia yangu , baadhi ya nyaraka muhimu kuharibika kutokana na unyevu nyevu,
kwangu nina bomba ambalo halikupata madhara isipokuwa majirani zangu vyoo na ,visima vilibomoka hivyo maji safi na taka kuchanganyika
Kabla ya mafuriko: saa moja na nusuSasa: saa moja na nusu
(Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti