Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | February 1, 2012 at 3:04 PM EAT |
Mission mzinga
kifusi cha kuinua maeneo yetu, mitaro midogo ijengwe ili kuruhusu maji kuingia mto mzinga, Kiwanda cha KTM kuzibue njia ya maji kilipojenga mifrreji yake ,ikiwezekana tutafutiwe maeneo ya kuishi ili tutoke mabondeni
kuvunjika kwa ukuta wa nyumba yangu, vifaa vyote vya ndani kuharibika na kupotea,Tv,radio friji, komputa,vifaa vya shule vya kufundishia, vifaa vya shule watoto wangu ,vyeti vya shule na vya kuzaliwa watoto viliharibiwa na maji
kulala nje siku kumi kwani maji yalichukua muda huo kukauka ,kuingia gharama za ujenzi wa ukuta na kuanza maisha upya, kuingia usumbufu wa kufuatilia vyeti upya,gharama za vifaa vya shule kwa watoto na gharama ya vifaa vya kufundishia, kupoteza kumbukumbu za serikari mimi kama mjumbe wa nyumba kumi eneo hili.
Hatuna kabisa maji maeneo haya mabomba yalipasuka wakati wa nvua ,visima kwa maji ya kawaida havifai tena
Before flooding: saa moja | Now: saa moja |
(No Response)
« Back to report