Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | February 1, 2012 at 2:45 PM EAT |
Mission msikitini{ Mbagala}
miundo mbinu ,iboreshwe,hasa katika barabara kuu ya kilwa road ambayo imejengwa vibaya na kuziba mwelekeo wa maji,kupatikane vifusi ili kuinua maeneo yaliyoathiriwa na maji
nyumba yangu ilizingilwa na maji hivyo iko hatarini kubomoka, samani zote za ndani zimeharibika,nguo na vifaa vyote vya shule vimeharibika
kurudisha maendeleo nyuma ,watoto kutokwenda shule ,kukosa sehemu salama ya kuishi ongezeko la magonwa kwa familia malaria , kuhara,na upele .
tumekosa maji kabisa kwani wakati wa mafuriko mabomba yalichimbuliwa na maji hivyo kupasuka kwa kukanyagwa na magari.
Before flooding: masaa 2 | Now: masaa 2 |
(No Response)
« Back to report