Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | February 1, 2012 at 2:18 PM EAT |
keko magulumbasi A
tunahitaji msaada wa kukausha
maji ambayo mpaka sasa bado yametuama katika maeneo yetu, kutengenezewa mitaro midogo midogo itakayoruhusu maji kupita kwa urahisi, vyandaruail kuzuia mbu, dawa za kusafishia mazingira yetu ili kuua wadudu .,kukarabatiwa nyumba zetu na visima.
maji ambayo mpaka sasa bado yametuama katika maeneo yetu, kutengenezewa mitaro midogo midogo itakayoruhusu maji kupita kwa urahisi, vyandaruail kuzuia mbu, dawa za kusafishia mazingira yetu ili kuua wadudu .,kukarabatiwa nyumba zetu na visima.
mali zote za ndani zimeharibika,kabati ,vifaa vya jikoni, vitanda,magodoro, tv ,radio,na kuta za nyumba kubomoka, choo,kisima cha maji vyote vimebomoka
kukosa sehemu ya kulala, magonjwa ya mlipuko, kurudi nyuma kimaendeleo,ujumla maisha yameharibikana nimerudi kwenye umaskini.,kukosa choo, na maji.
visima vya maeneo haya vimebomoka hivyo kuchandanyikana na maji taka.
Before flooding: dakika 20 | Now: sina kazi |
(No Response)
« Back to report