Respondent: | Tanzania Women of Action(Tawa) |
---|---|
Time Submitted: | 31 Mutarama, 2012 at 19:51 EAT |
keko mwnga A
Vifusi vya kuinua maeneo yetu,Mfereji mkubwa wa kutoka darajani mpaka keko chini utengenezwe kwa kuwekewa makaravati , kuta au nyumba zilizojengwa kando kando ya mfereji mkubwa zibomolewe na watu wapewe maeneo.
Vitanda, magodoro ,deepfreezer 2 za biashara , tv,radio friji,kabati 2 la vyombo na nguo,
nguo za familia ya watu 7 zimepotea, ukuta wa nyumba umeathirika kwa maji yaliyo dumu kwa siku 20.pesa taslim laki mbili za karo ya shule ya mtoto wangu kupotea
nguo za familia ya watu 7 zimepotea, ukuta wa nyumba umeathirika kwa maji yaliyo dumu kwa siku 20.pesa taslim laki mbili za karo ya shule ya mtoto wangu kupotea
kuathiri watoto wangu kielimu kwa kuwachelewesha shule kutokana na kukosa pesa ya kununua vifaa vya shule na vitu vingine muhimu,magonjwa ya mlipuko pamoja na maralia , uchumi wangu kushuka ,kukosa vifaa muhimu ndani,
mabomba yote yaliyokuwa eneo hili yalisombwa na maji ,visima vingi vilibomoka na kuruhusu maji taka kuingia,wanaokaa maeneo ya juu walifungulia na kutapisha vyoo vyao hivyo kuingiliana na visima vyetu
Before flooding: masaa 2 | Now: masaa2 |
(No Response)
« Back to report