Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: UVIKITWE GROUP
Time Submitted: 31 Januari, 2012 19:21 EAT
KIZINGA - MBAGALA
Miundombinu kwa ujumla
Vitanda vitatu vimesombwa na maji, magodoro, pesa taslimu shilingi 130,000, nguo za wakubwa na watoto zimesombwa na maji pamoja na vyombo vya ndani.
Maisha yamekuwa magumu sana kwani hakuna namna ya kuweza kuanza tena maisha mapya, nyumba imepata nyufa na hakuna uwezo wa kuikarabati.
Maji ni ya visima tu ndiyo yanayotumika baada ya mabomba yote kusombwa na mafuriko, maji hayana usalama kabisa, na kuhofia kukumbwa na ugonjwa wa kipindupindu.
Kabla ya mafuriko: Dakika 15Sasa: Siwezi tena kwenda
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti