Respondent: | UVIKITWE GROUP |
---|---|
Time Submitted: | January 31, 2012 at 7:03 PM EAT |
KIZINGA - MBAGALA
Miundombinu ya maji, barabara, madaraja na mawasiliano kwa ujumla.
Magodoro, Nguo , Vyombo vya ndani, Vitabu ,Chakula na unifom za shule za wanafunzi,
Vyanzo vya mapato vimeharibika, Hakuna uwezo wa kuanza na kurejea katika maisha ya kawaida ya kilasiku.
Mabomba yote ya maji masafi yamesombwa na mafuriko, maji tunayotumia sasaivi ni ya visima, na hayana usalama kwa matumizi ya binadamu.
Before flooding: Dakika 5 | Now: Dakika 15 |
« Back to report