Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: UVIKITWE GROUP
Time Submitted: 31 Januari, 2012 19:03 EAT
KIZINGA - MBAGALA
Miundombinu ya maji, barabara, madaraja na mawasiliano kwa ujumla.
Magodoro, Nguo , Vyombo vya ndani, Vitabu ,Chakula na unifom za shule za wanafunzi,
Vyanzo vya mapato vimeharibika, Hakuna uwezo wa kuanza na kurejea katika maisha ya kawaida ya kilasiku.
Mabomba yote ya maji masafi yamesombwa na mafuriko, maji tunayotumia sasaivi ni ya visima, na hayana usalama kwa matumizi ya binadamu.
Kabla ya mafuriko: Dakika 5Sasa: Dakika 15
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti