Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: 31 Januari, 2012 08:45 EAT
Tabata Kisukuru
Nyumba zetu kufanyiwa ukarabati
Nyumba yangu imehabika sana
Maisha yangu ya mekosa muelekeo baada tu ya mafuriko
Hakuna na yaliyopo sio safi na salama
Kabla ya mafuriko: 20Sasa: 70
Mzee huyu akieleza timu ya Envaya na N.V.R.F wakiwa wanapewa Maelezo juu ya Mafuriko na uharibifu wake
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti