Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

ARDHI, UWEKEZAJI NA HATMA YA MTANZANIA

Anthony Rwegasira (Community Empowerment Foundation (COEF))
July 20, 2011 at 9:04 PM EAT

 

Kila kukicha utasikia mwekezaji kapewa maelfu ya ekari za ardhi kwa ajili ya uwekezaji. Ardhi inayotwaliwa ni ile yenye makazi ya watanzania wanyonge. Hali ya kuuza nchi kwa vipande ikiendelea kama ilivyo sasa, hatima ya watanzania itakuwaje? Tujadili


Add New Message (Hide)

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.