
Fundi mchundo wa Brightlight Organization ndugu Lameck akielezea jinsi Brightlight Organization ilivyosaidia vijana kuwapa mafunzo ya bure na kuachana na utumiaji wa madawa ya kulevya mkoani Geita.
January 14, 2014

Fundi mchundo wa Brightlight Organization ndugu Lameck akielezea jinsi Brightlight Organization ilivyosaidia vijana kuwapa mafunzo ya bure na kuachana na utumiaji wa madawa ya kulevya mkoani Geita.