Log in
Nyakitonto youth for development Tanzania(NYDT)

Nyakitonto youth for development Tanzania(NYDT)

Head office:Kigoma ujiji,Buzebazeba ward,burega street,at mawen & Near Dr.livingstone lodge,p.o.box 890,Kigoma, Tanzania:dyouthkgm@yahoo.com.Hote line +255765794896,+255782990599.

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

NYAKITONTO YOUTH FOR DEVELOPMENT TANZANIA YATOA USHUHUDA KWA MWAKILISHI WA THE FOUNDATION FOR CIVIL SOCIETY(fcs) NDUGU,RICHARD KANTUNKA(FOUNDATION REP/JOURNALIST-RFA-KIGOMA.

Katika picha ni Richard Kantunka na Walengwa wa Mradi wa Kujengea Uwezo katika OFISI ya NYDT-tarehe 06.10.2012.

Ndugu Katunka alikaliliwa akisema,Namba ya Mawasiliano yenu ilikuwa imekosewa kwa Kuandikwa-)0765794996 badala ya 0765794896.

  • alisema kutokana na namba kukosewa Walishidwa kumpata mtu mwafaka wa NYDT-badala yake alipokea mtu kutoka TABORA ambaye alimjibu majibu mabaya.
  • Baada ya KUona OFISI,WATENDAJI na Walengwa wa NYDT-alishuhudia na kusema asasi ni nzuri,iko wazi,makini na Madhali yake yanaoyesha Uendelevu.
  • Picha na matukio hapa chini.
October 7, 2012
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.