Fungua
FIGHTING HIV/AIDS IN TANZANIA (FIHATA)

FIGHTING HIV/AIDS IN TANZANIA (FIHATA)

Kijitonyama ofisi za kata, Dar es Salaam, Tanzania

Kuratibu na kusimamia makundi ya watu wanaoishi nA VIRUSI vya ukimwi na UKIMWI, WAJANE na YATIMA, na VIJANA Tanzania.

Kutoa fursa kwa vina na watoto waliopo katika mazingira hatarishi kujitambua na kufahamu haki zao.

Pia kuhamasisha jamii juu ya umuhimu wa kutambua makundi hayo.

Mabadiliko Mapya
FIGHTING HIV/AIDS IN TANZANIA (FIHATA) imejiunga na Envaya.
29 Agosti, 2011
Sekta
Sehemu
Kijitonyama ofisi za kata, Dar es Salaam, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu