Injira
Community Empowerment Foundation

Community Empowerment Foundation

Dar es Salaam, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

ARDHI, UWEKEZAJI NA HATMA YA MTANZANIA

Anthony Rwegasira (Community Empowerment Foundation (COEF))
20 Nyakanga, 2011 at 21:04 EAT

 

Kila kukicha utasikia mwekezaji kapewa maelfu ya ekari za ardhi kwa ajili ya uwekezaji. Ardhi inayotwaliwa ni ile yenye makazi ya watanzania wanyonge. Hali ya kuuza nchi kwa vipande ikiendelea kama ilivyo sasa, hatima ya watanzania itakuwaje? Tujadili


Andika ubutumwa (Hisha)

Birashakisha...
Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.