Parts of this page are in Swahili. Edit translations
Siku ya UKIMWI Duniani. Kila mmoja anakaribishwa kushiriki katika maadhimisho haya. Kwa wakazi wa Moshi, Siku hii itaanza saa mbili asubuhi pale katika ofisi za Manispaa ya Moshi na kufanya maandamano kuelekea viwanja vya Manyema vilivyopo karibu na Soko la Mbuyuni Moshi. Burudani na elimu mbalimbali zitakuwepo.Wote Mnakaribishwa
November 24, 2012
Comments (2)