Envaya

VICTORY YASHIRIKI MEI MOSI

Chuo Cha Victory & Faith Training  Centre kimeshiriki katika maazimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mei mosi katika viwanja vya Jamuhuli Mkoani Morogoro.

Mkurugenzi wa chuo cha Victory akiwa na  baadhi ya wanachuo wakifuatilia kwa makini maazimisho ya siku ya Mei mosi katika uwanja wa Jamuhuri Mkoani Morogoro

3 Mei, 2014
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.