Shirika la viyoso laendesha mradi wa ICT kwa vijana wa Manispaa ya Morogoro kupitia kituo chake cha victory & Faith Training Centre, mradi wenye lengo la kuwajengea uwezo vijana 120 kutoka kata 29 za manispaa ya morogoro hili waweze kuajiliwa na kujiajili
20 Aprili, 2014