mimi ni mkazi wa chanika vikongoro yote mliyoeleza hapo juu si ya kweli ,kwani kuna idadi kubwa ya vijana katika mtaa wetu lakini hakuna kitu kinachoendelea juu yao ,safari hii ni bora muwe wakweli hasa katika mtaa wetu wa vikongoro
January 27, 2016
(Anonymous) said:
Fika katika ofisi za maendeleo ya jamii kata ya chanika utapata taarifa sahihi kuhusu chanika tuamke youth organization au tembelea ofisi za mtaa wa vikongoro uliza utapata taarifa zaidi au wasiliana nami ufike ofisini kwetu +255621153354
Comments (2)