TANZANIA SOCIAL SUPPORT FOUNDATION
OFISI YA MKURUGENZI MKUU
TANGAZO
YAH: PUNGUZO LA ADA YA FOMU YA MAOMBI YA UFADHILI WA MASOMO YA ELIMU YA JUU KWA MWAKA 2017/2018
Hii ni kuutaarifu Umma wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba, baada ya kupokea maoni mbalimbali ya wadau kuhusu kushindwa kulipa ada ya maombi ya ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kwa mwaka 2017/2018 kutoka TSSF, na kwa kuzingatia agizo la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kutaka kushushwa kwa bei za maombi ya huduma za elimu ya juu kwa wanafunzi, na kwa kuzingatia misingi ya falsafa ya Shirika la TSSF ambayo ni ‘kutoa msaada kwa jamii’, Shirika la TSSF limepunguza rasmi kiasi cha malipo ya ada ya fomu ya maombi ya ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kutoka TSSF ambapo ada hiyo imepunguzwa kutoka Tshs. 50,000/= hadi Tshs. 20,000/= kuanzia leo siku ya Jumatano ya tarehe 30 Agosti 2017.
Aidha, wale ambao walikuwa wameshalipia Tshs. 50,000/= watarejeshewa Tshs. 30,000/= na kwamba utaratibu wa kudai kurejeshewa malipo tajwa hapo juu utafanyika baada ya mdai kuwasiliana na Shirika la TSSF kupitia Na. 0624 700 666 au kutuma ujumbe wa barua pepe kwenda kwa anwani ifuatayo; registry@tssf.or.tz
Sanjari na hilo Shirika la TSSF linawakumbusha waombaji wa ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kwamba, mwisho wa kuomba ufadhili tajwa hapo juu ni tarehe 30 Septemba 2017.
Imetolewa na;
Donati Salla
MKURUGENZI MKUU – TSSF
30 Agosti 2017
Comments (24)
Tusaidieni kwa lengo la maendeleo ya watu ote tu.
Ahsante sana.
Asanteni.
namba 0767753852
Tatua Tatizo lako la Fedha Ndani ya Masaa 24.
Je, wewe ni Mmiliki wa Mshahara au Biashara?
Pata kutoka kwa Euro 1,000 - 200,000, 000 Euro Mikopo ndani ya masaa 24
Suluhisho la Fedha Rahisi.
Kwa Maswali zaidi wasiliana nasi kwa: immaculateloanprovidersltd@gmail.com
Mkurugenzi Mtendaji: Bibi Benjamine
au tembelea tawi letu: Level 29, Tiffany Tower, Jumeirah Lakes Towers Dubai. UAE
Wasiliana nasi kwa: immaculateloanprovidersltd@gmail.com
Asante
Tatua Tatizo lako la Fedha Ndani ya Masaa 24.
Je, wewe ni Mmiliki wa Mshahara au Biashara?
Pata kutoka kwa Euro 1,000 - 200,000, 000 Euro Mikopo ndani ya masaa 24
Suluhisho la Fedha Rahisi.
Kwa Maswali zaidi wasiliana nasi kwa: immaculateloanprovidersltd@gmail.com
Mkurugenzi Mtendaji: Bibi Benjamine
au tembelea tawi letu: Level 29, Tiffany Tower, Jumeirah Lakes Towers Dubai. UAE
Wasiliana nasi kwa: immaculateloanprovidersltd@gmail.com
Asante