Envaya
Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

SHIRIKA LA KUSAIDIA JAMII TANZANIA

OFISI YA MKURUGENZI MKUU

 

TANGAZO

Kutakuwepo na Kikao Cha I Cha Chama Cha Ualimu Tanzania – CUT, Kitakachofanyika Siku ya Jumapili ya Februari 08, 2015 Saa 08:00 Mchana hadi Saa 12:00 Jioni Katika Ofisi za Shirika la Kusaidia Jamii Tanzania – TSSF.

Kikao hiki kitafanyika Chini ya Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TSSF na Watakaohudhuria ni Wale Wajumbe Waliopata Mwaliko Kutoka Katika Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TSSF.

Imetolewa na;-

Mkurugenzi Mkuu – TSSF.

 

7 Februari, 2015
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.